Joviniani wa Auxerre

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Joviniani wa Auxerre (kwa Kilatini: Jovinianus; kwa Kifaransa: Jovinien; alifia dini Auxerre, leo nchini Ufaransa, 260) alikuwa msomaji wa Kanisa, kati ya wainjilishaji wa kwanza wa mji huo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Mei[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads