Julian Assange
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Julian Paul Assange [1] (alizaliwa Julian Paul Hawkins; 3 Julai 1971) ni mtaalamu wa kompyuta toka Australia aliye mwanzilishi na mkurugenzi wa WikiLeaks.[2]


Hivi sasa anashikiliwa na polisi London, Uingereza baada ya kukamwata tarehe 11 Aprili 2019 kwa kutotii masharti ya dhamana aliyopewa mnamo Desemba 2010. Kabla ya kukamatwa, alikuwa akiishi katika ubalozi wa Ecuador tangu mwaka 2012.
Assange alianzisha WikiLeaks mwaka 2008 akaanza kujulikana duniani mwaka 2010 wakati WikiLeaks ilipochapisha siri za serikali ya Marekani zilizofichuliwa na Chelsea Manning (akijulikana wakati huo kama Bradley Manning). Siri hizo zilijumuisha video ya Collateral Murder (Aprili 2010),[3]. Kutokana na kuchapishwa kwa siri hizo, serikali ya Marekani ilianzisha uchunguzi wa jinai na kutaka nchi marafiki kuisaidia.[4]
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads