3 Julai
tarehe From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tarehe 3 Julai ni siku ya 184 ya mwaka (ya 185 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 181.
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
Waliozaliwa
- 1442 - Go-Tsuchimikado, mfalme mkuu wa Japani (1464-1500)
- 1876 - Ralph Barton Perry, mwandishi na mwanafalsafa kutoka Marekani
- 1883 - Franz Kafka, mwandishi wa Kijerumani kutoka milki ya Austria-Hungaria
- 1930 - Tommy Tedesco, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 683 - Mtakatifu Papa Leo II
- 1971 - Jim Morrison, mwanamuziki wa Marekani
- 2008 - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya Mtume Thoma, lakini pia kumbukumbu za watakatifu Anatoli wa Laodikea, Memno wa Viza, Marko na Musiani, Eliodori wa Altino, Anatoli wa Konstantinopoli, Papa Leo II, Raimundi Gayrard, Yosefu Nguyen Dinh Uyen, Filipo Phan Van Minh, Petro Zhao Mingzhen, Yohane Mbatizaji Zhao Mingxi n.k.
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 3 Julai kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads