Juliana Falconieri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Juliana Falconieri
Remove ads

Juliana Falconieri, O.S.M. (Firenze, Italia, 1270 hivi – Firenze 1341) alikuwa bikira wa shirika la Watumishi wa Maria[1] lililoanzishwa na ndugu wa baba yake na wenzake sita.

Thumb
Sanamu ya Mt. Juliana huko Padua.

Alikuwa kiongozi wa kwanza wa jumuia ya kike wa utawa huo[2].

Alitangazwa na Papa Inosenti XI kuwa mwenye heri tarehe 26 Julai 1678, na Papa Klementi XII kuwa mtakatifu tarehe 16 Juni 1737.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 19 Juni[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads