Juliani wa Ankara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Juliani wa Ankara (alifariki Ankara, leo nchini Uturuki, 320 hivi) alikuwa padri aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Licinius[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Septemba.[2]
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads