Juneau, Alaska

From Wikipedia, the free encyclopedia

Juneau, Alaska
Remove ads

Juneau ni mji mkuu wa Alaska (jimbo la Marekani). Mwaka 2000 mji ulikuwa na wakazi 30,711. Mji upo m 17 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Nyumba za Juneau

Juneau iliundwa 1881 kutokana na kambi la wachimba dhahabu. Jina la mji latunza kumbukumbu la Joe Juneau aliyekuwa kati ya watu waliogundua dhahabu hapa.




Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Juneau, Alaska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads