Kasto na Emilio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kasto na Emilio (walifia dini katika Tunisia ya leo, 250 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa kwa kuchomwa moto.

Habari zao ziliandikwa na askofu Sipriani wa Karthago akieleza kwamba mara ya kwanza walishindwa na hofu, lakini hatimaye Mungu aliwaimarisha wawe na nguvu kuliko miali ya moto [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Mei[2][3][4]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads