Ketilo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ketilo
Remove ads

Ketilo, C.R.S.A. (pia: Ketil, Chetillus, Ketillus, Keld, Kjeld,; Udani, 1100 hivi - Viborg, Udani, 27 Septemba 1150 hivi) alikuwa padri mwanajimbo ambaye alijunga na urekebisho wa Wakanoni akawa kielelezo cha umonaki, pamoja na kuwa na bidii kubwa kwa ajili ya seminari [1][2].

Thumb
Mt. Ketilo katika mchoro wa ukutani huko Kopenhagen.

Papa Klementi III alimtangaza mtakatifu mwaka 1188[3].

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Walutheri tarehe 11 Julai[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads