Kibiti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kibiti ni mji mdogo katika Wilaya ya Kibiti, Tanzania, yenye postikodi namba 61813.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 29,533 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 15,156 [2] walioishi humo.

Msimbo wa Posta ni 61610.

Shughuli kuu katika kata ya Kibiti ni kilimo cha mihogo, ufuta, mpunga, korosho, mahindi na mtama.

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads