Kimbiji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kimbiji ni kata ya Wilaya ya Kigamboni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 17101.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 10,729 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 3,673 waishio humo.[2]

Kimbiji ina mitaa 6: Golani, Kwa Chale, Mikenge, Ngobanya, Kizito Huonjwa na Kijaka.

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads