Kislavoni cha Magharibi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kislavoni cha Magharibi
Remove ads

Kislavoni cha Magharibi ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Kati-Mashariki.

Thumb
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Ni hasa lugha tatu za kitaifa ambazo ni

Kuna tena lugha mbili za kieneo na wasemaji waliobaki ni wachache:

Kuna kumbukumbu ya kihistoria ya lugha za ziada katika familia hii lakini hakuna wasemaji tena, ni lugha za kihistoria tu.

Lugha za Kislavoni cha Magharibi huandikwa kwa alfabeti ya Kilatini.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kislavoni cha Magharibi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads