Kongal

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kongal
Remove ads

Kongal (pia: Comhghall, Comgall; Ulster, 515 hivi   Bangor, 597/602) alikuwa askari wa Ireland aliyegeuka[1] mmonaki padri maarufu kwa kuanzisha monasteri maarufu ya Bangor[2][3] alipolea na kuongoza kwa hekima na busara maelfu ya wamonaki, akiwemo Kolumbani[4], kufuata masharti makali ya kitawa[5][6] hata kupitia kanuni maalumu [7] [8].

Thumb
Mozaiki ya huko Bangor ikimuonyesha pamoja na wamonaki wenzake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Mei[9].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads