Kukufas

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kukufas
Remove ads

Kukufas (pia: Qaqophas[1] au Cugat; 269- 304) alikuwa shemasi (kutoka Scillium, leo nchini Tunisia) aliyekwenda kuinjilisha eneo la Barcelona akauawa kwa kukatwa shingo huko Sant Cugat del Valles (leo nchini Hispania) wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian wa Dola la Roma[2].

Thumb
Kifodini cha Mt. Cucuphas (Ayne Bru, 1504-1507)

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini pamoja na wengine wengi waliouawa huko katika dhuluma hiyo [3].

Sikukuu yake na ya wenzake huadhimishwa tarehe 25 Julai[4].

Remove ads

Picha

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads