Kunibati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kunibati
Remove ads

Kunibati (pia: Kunibert, Cunibert, Cunipert; kwenye mto Moselle, kati ya Ufaransa na Ujerumani, 590 hivi; Cologne, leo nchini Ujerumani, 663 hivi) alikuwa shemasi mkuu wa Trier[1], halafu askofu wa 9 wa Cologne kuanzia mwaka 623[2] .

Thumb
Sanamu yake katika mnara wa ukumbi wa mji wa Cologne.

Alifufua Ukristo katika jimbo lake baada ya vurugu za uvamizi wa Wapagani, pamoja na kusaidia watawala wa nchi[3][4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Novemba[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads