Kurea

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kurea
Remove ads
Remove ads

Kurea ni ndege wadogo wa nusufamilia Halcyoninae katika familia Alcedinidae. Spishi nyingine zinaitwa kichi au kijimbi-msitu. Wanafanana na midiria lakini ni wakubwa zaidi na spishi nyingi hutokea mbali na maji. Takriban spishi zote ni buluu mgongoni na domo lao ni jekundu mara nyingi. Spishi ndogo hula wadudu hasa lakini spishi kubwa zaidi hukamata kaa, vyura, mijusi, nyoka, panya au makinda ya ndege pia. Huchimba tundu katika ukingo wa mto, kichuguu au mti unaooza ambalo ndani lake jike huyataga mayai 2-5. Spishi nyingine zinatumia tundu la ndege mwingine kama zuwakulu au kigong'ota.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads