Kwenzi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kwenzi
Remove ads

Kwenzi au kuzi ni ndege wadogo kiasi wa familia Sturnidae. Spishi nyingine zinaitwa kizole au nyangala. Wanatokea Ulaya, Afrika, Asia na Australia. Baadhi ya spishi zimewasilishwa katika Amerika ya Kaskazini, Nyuzilandi na Afrika. Wanapenda kuwa kwa makundi. Spishi nyingi zina rangi ya buluu, pengine pamoja na rangi kali kama nyekundu, machungwa na njano; spishi nyingine ni nyeusi, kijivu au kahawia, pengine pamoja na nyeupe, njano, nyekundu au pinki. Sauti yao ina utata na huiga sauti za mazingira, kama ndege wengine, kamsa za magari na hata msemo wa binadamu. Ndege hawa hula wadudu na matunda hasa, lakini hula nusra kila kitu. Takriban spishi zote hulijenga tago lao katika tundu. Jike huyataga mayai 2-6 meupe au buluu.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Spishi za kabla ya historia

  • Aplonis diluvialis (Huahine Starling) (Mwisho wa Quaternary)
  • Aplonis sp. undescr. (Erromango Starling) (Mwisho wa Quaternary)

Picha

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads