Laetoli

Eneo la nyayo From Wikipedia, the free encyclopedia

Laetolimap
Remove ads

Laetoli ni eneo karibu na Bonde la Oltupai (Tanzania), km 45 kusini kwake, ambapo mwaka 1972 Mary Leakey aligundua nyayo za kale (miaka milioni 3.7 iliyopita) za zamadamu watatu waliotembea kwa miguu miwili.

Thumb
Nakala ya nyayo za Laetoli, National Museum of Nature and Science, Tokyo, Japani.

Mwaka 2015 ushirikiano wa watafiti wa Tanzania na wa Italia uliwezesha kugundua nyayo nyingine mbili za msafara huohuo, za mmojawapo zikiwa ndefu sana kuliko nyingine.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads