Lamberti wa Lyon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lamberti wa Lyon (Therouanne, 625 - Lyon, 685 hivi) alikuwa askofu mkuu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, tangu mwaka 678. Kabla ya hapo alikuwa mmonaki na hatimaye abati wa Fontenelle [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads