Landeriki wa Paris

From Wikipedia, the free encyclopedia

Landeriki wa Paris
Remove ads

Landeriki wa Paris (kwa Kifaransa: Landry; alifariki Paris, Ufaransa, 656 hivi) alikuwa askofu wa ishirini na nane wa mji huo kuanzia mwaka 650 hadi kifo chake.

Thumb
Sanamu ya Mt. Landeriko, Paris, Ufaransa.

Ili kusaidia fukara wakati wa njaa aliuza hata vyombo vya ibada[1] na kujenga hospitali[2] karibu na kanisa kuu[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Juni[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads