Libori

From Wikipedia, the free encyclopedia

Libori
Remove ads

Libori (mwanzoni mwa karne ya 4 - Le Mans, leo nchini Ufaransa, 397 hivi) alikuwa askofu wa 4 wa mji huo kwa miaka 49 kuanzia mwaka 348[1].

Thumb
Sanamu yake huko Paderborn, Ujerumani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Aprili[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads