Liseri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na kwa sala zake alizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].

Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads