Liseri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Liseri
Remove ads

Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na kwa sala zake alizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Liseri inayotunza masalia yake.

Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti.[3]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads