Litori wa Tours

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Litori wa Tours (pia: Litorius, Litoire, Lidoire; alifariki Tours, leo nchini Ufaransa, 13 Septemba 371 BK) alikuwa askofu wa pili wa mji huo alipokuta Wakristo lakini ndiye wa kwanza kujenga kanisa ndani yake [1].

Gregori wa Tours aliandika kwamba baada ya Grasyano askofu wa pili aliitwa Litori na kudumu miaka 33, mpaka alipofika Martino wa Tours mwaka 371 [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads