Lobengula
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lobengula Khumalo (Septemba 1845 - Januari 1894) alikuwa mfalme wa pili na wa mwisho wa Wandebele (tawi la Wazulu katika nchi ambayo leo inaitwa Zimbabwe)

Jina "Lobengula" linamaanisha "Aliyekuwa mgonjwa".
Wazazi
Baba yake alikuwa Mzilikazi, ambaye alimtangulia Lobengula kama mfalme wa Wandebele[1].
Mama yake Lobengula alikuwa mke mdogo kwenye boma ya Mzilikazi, na Lobengula aliweza kumrithi baba yake kwa umaarufu wake katika vita.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads