Lodwar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lodwar
Remove ads

Lodwar ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Turkana.

Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...
Thumb
Picha ya Lodwar
Thumb
Picha ya Lodwar na kituo cha ndege ya Lodwar
Thumb
Picha ya Lodwar
Thumb
Mto wa Turkwell, Lodwar
Thumb
Soko Lodwar baada ya mvua ikijaa maji

Wakati wa sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 48,316[1].

Lodwar ina mito miwili na kiwanja cha ndege ndogo. Mto mkubwa ni mto Turkwel.

Watalii wanasafiri Lodwar kuona pahali ya masalia ya zamadamu (kama kijana wa Turkana, aliyefumwa na Kamoya Kimeu, Meave Leakey na Richard Leakey) na kupumzika karibu na ziwa la Turkana.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads