Mto Turkwel
ni mto unaotoka mlima Elgon mpakani mwa Kenya na Uganda hadi Ziwa Turkana. Mto huu unaitwa Mto Suam kutoka chanzo chake hadi mpakani katika Kaunti ya Turkana nchini Kenya. From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Turkwel[1] (pia: Turkwell[2][3]) unapatikana katika kaunti ya Turkana nchini Kenya na unaishia katika ziwa Turkana, lililo kubwa kuliko maziwa yote ya jangwani yaliyoko duniani kote[4].
Chanzo chake ni katika Mlima Elgon, mpakani mwa Kenya na Uganda na unaitwa kwanza mto Suam. Upande wa kaskazini wa Kapenguria katika kaunti ya West Pokot njia yake imezuiwa na lambo linalounda Bwawa la Turkwel.
Mara nyingi maji yake hayatoshi kufika ziwani na mto unakauka mapema.
Delta ya mto Turkwel Delta inapatikana kwenye mita 369 juu ya usawa wa bahari, mara baada ya kuingia katika kaunti ya Marsabit[5]. 3°06′17″N 36°05′51″E
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads