Lulo wa Mainz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lulo wa Mainz
Remove ads

Lulo wa Mainz (Wessex, Uingereza, 710[1] - Hersfeld, Ujerumani, 16 Oktoba 786 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto aliyehamia Ulaya bara kama mmisionari kwa kumfuata Bonifas mfiadini. Huyo alimpa uaskofu ili awe kiongozi kwa mapadri, mwalimu wa kanuni kwa wamonaki na mhubiri na mchungaji mwaminifu kwa Taifa la Mungu. Hatimaye akawa askofu mkuu wa Mainz baada yake [2].

Thumb
Sanamu ya Mt. Lulo huko Bad Hersfeldg.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyoaga dunia[3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads