Mlupini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Milupini (Lupinus spp.) ni mimea ya nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Mbegu zao huitwa malupini. Spishi kadhaa hukuzwa ili kuvuna malupini kwa chakula cha watu, k.m. mlupini mweupe, mlupini majani-membamba, mlupini buluu na spishi ya Amerika ya Kusini Lupinus mutabilis. Spishi nyingine hukuzwa kwa malisho ya wanyama, k.m. mlupini mweupe, mlupini majani-membamba na mlupini njano. Lazima malupini yalowekwe katika maji na chumvi kwa muda wa siku kadhaa kabla kuyapika, kwa sababu yana sumu.
Remove ads
Spishi za Afrika
- Lupinus albus, Mlupini Mweupe (Lupinus albus)
- Lupinus angustifolius, Mlupini Majani-membamba (Lupinus angustifolius)
- Lupinus atlanticus, Mlupini wa Kiatlantiki (Lupinus atlanticus)
- Lupinus cosentinii
- Lupinus digitatus
- Lupinus hispanicus, Mlupini wa Hispania
- Lupinus luteus, Mlupini Njano (Lupinus luteus)
- Lupinus micranthus, Mlupini Maua-madogo
- Lupinus palaestinus, Mlupini Kijivucheupe
- Lupinus pilosus, Mlupini Buluu (Lupinus pilosus)
- Lupinus princei
- Lupinus somaliensis, Mlupini Somali
Remove ads
Picha
- Mlupini mweupe: jani
- Mlupini mweupe: maua
- Mlupini mweupe: malupini
- Mlupini majani-membamba: majani na maua
- Mlupini majani-membamba: malupini
- Mlupini wa Hispania
- Milupini njano
- Mlupini njano: makaka mabivu
- Mlupini maua-madogo
- Milupini kijivucheupe
- Mlupini buluu
![]() |
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mlupini kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads