Lutgarda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lutgarda
Remove ads

Lutgarda (pia: Lutgardis, Lutgarde, Ludgardis, Lutgard, Luitgard, Ludgard, Lutgart au Luthgard; Tongeren, leo nchini Ubelgiji, 1182 hivi – Aywières, leo nchini Ubelgiji, 16 Juni 1246) alikuwa bikira aliyejiunga na monasteri ya Kibenedikto bila wito akiwa na miaka 12[1].

Thumb
Mt. Lutgarda alivyochorwa na Goya, 1787.

Miaka 8 baadaye alipata njozi iliyomfanya achangamkie maisha ya kiroho[2].

Baadaye tena alihamia urekebisho wa Citeaux akazidi kujaliwa karama za pekee[3][4].

Miaka 11 ya mwisho ya maisha yake alibaki kipofu.

Inakumbukwa ibada yake ya pekee kwa Moyo Mtakatifu wa Yesu[5].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads