Lutgarda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lutgarda (pia: Lutgardis, Lutgarde, Ludgardis, Lutgard, Luitgard, Ludgard, Lutgart au Luthgard; Tongeren, leo nchini Ubelgiji, 1182 hivi – Aywières, leo nchini Ubelgiji, 16 Juni 1246) alikuwa bikira aliyejiunga na monasteri ya Kibenedikto bila wito akiwa na miaka 12[1].
Miaka 8 baadaye alipata njozi iliyomfanya achangamkie maisha ya kiroho[2].
Baadaye tena alihamia urekebisho wa Citeaux akazidi kujaliwa karama za pekee[3][4].
Miaka 11 ya mwisho ya maisha yake alibaki kipofu.
Inakumbukwa ibada yake ya pekee kwa Moyo Mtakatifu wa Yesu[5].
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads