Zuwakulu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zuwakulu
Remove ads

Zuwakulu (pia zuakulu) ni ndege wa familia Lybiidae, lakini spishi za jenasi Pogoniulus zinaitwa vitororo. Spishi zote zinatokea Afrika chini ya Sahara. Ndege hawa ni wanono na wana kichwa kikubwa na domo zito lenye nywele ndefu kuzunguka msingi wake. Spishi nyingi zina rangi kali kama nyekundu na njano. Hula wadudu na aina mpaka 60 za matunda. Spishi kubwa zinaweza kukamata mijusi na vyura. Kwa kawaida dume na jike pamoja huchimba tundu katika tawi au shina lililooza na jike huyataga mayai 2-6 ndani yake. Spishi kadhaa huchimba

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads