Mael Ruain

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mael Ruain (pia: Maelruain, Maolruain, Maelruan, Molruan na Melruain; alifariki nchini Ireland, 792) alikuwa askofu na abati wa monasteri aliyoianzisha huko Tallaght.

Alijitahidi sana kurekebisha liturujia, heshima kwa watakatifu na nidhamu za kimonaki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads