Mael Ruba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mael Ruba (pia: Máelrubai, Maol Rubha, MoRubha, MaRuibhe, Malruibhe, Rufus; Bangor, Ireland, 642 hivi - Teampull, Sutherland, Uskoti, 722) alikuwa mmonaki huko Bangor, akawa mwanzilishi wa monasteri wa wamisionari katika nchi ya Uskoti (671) aliyoiinjilisha kwa miaka 50[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 21 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads