Majoriko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Majoriko (karne ya 5 - 484) alikuwa mtoto pekee wa Dionisya wa Vita; kwanza aliogopa dhuluma, lakini baadaye, kwa kufarijiwa na macho na maneno ya mama yake, akawa shujaa kuliko wenzake akafa katika mateso hayo.

Ni kati ya wafiadini wengi wa Kanisa Katoliki waliouawa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Huneriki aliyekuwa Mwario.
Habari zao zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita.[1]
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads