Makanisi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Makanisi (jina kamili kwa Kieire: Mac Nisse; pia: Mac Nissi, Macnise, Macnissi, Macanisius, Macnisius; karne ya 5 - 514) alikuwa mmonaki wa Ireland aliyepata kuwa Askofu na abati mwanzilishi wa Connor [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe 3 Septemba, sikukuu yake[3]. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 19 Juni 1902 [4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads