Mamerto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mamerto (alifariki Vienne, leo nchini Ufaransa, 475 hivi) alikuwa askofu wa mji huo[1] kuanzia mwaka 462 hivi.
Katika kukabiliana na maafa ya kijamii, alianzisha siku tatu za kusali kwa fahari litania ili kujiandaa kwa sherehe ya Kupaa Bwana [2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads