Maputo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maputo
Remove ads

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Thumb
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Msumbiji bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Maelezo zaidi Mikoa ya Msumbiji ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads