Marko na Musiani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Marko na Musiani (walifariki Mesia, kati ya Bulgaria na Romania za leo, 305 hivi) walikuwa Wakristo wa Dola la Roma waliokatwa kichwa kwa kukataa kutoa sadaka kwa miungu na kukiri imani yao [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini .

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 3 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads