Mathayo I wa Aleksandria

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mathayo I wa Aleksandria kuanzia mwaka 1378 hadi 1408 alikuwa Patriarki wa 87 wa Wakopti[1].

Thumb
Msalaba wa Kikopti.

Akiwa na umri wa miaka 14 alijiunga na monasteri na kufikia miaka 18 alipewa upadrisho.

Alisaidia kujulisha Waislamu kwamba Wakristo wa Misri hawahusiki na maovu ya wenzao wa Ulaya wakati wa Vita vya msalaba.

Alipochaguliwa kuwa Papa wa Aleksandria alianza kujiita El Meskin ("Maskini") akawa na misaada mikubwa kwa mafukara pamoja na kuendelea kutetea Wakristo dhidi ya dhuluma za kidini.

Anaheshimiwa na Wakopti kama mtakatifu.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads