Matia Marko

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Matia Marko, O. de M. (alifia dini Tunisi, 1293) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki kutoka Toulouse, Ufaransa, ambaye alikwenda Tunisia pamoja na Antonio Vallesio ili kuhubiri Injili, lakini alikamatwa na kuuawa kwa kurushwa chini kutoka gengeni kwa ajili ya imani yake [1].

Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Aprili.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads