Mei
mwezi wa tano katika mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mwezi wa Mei ni mwezi wa tano katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na jina la mungu wa Warumi Maia.
Apr - Mei - Jun | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Mei ina siku 31, na hakuna mwezi mwingine unaoanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Mei katika mwaka uleule.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads