Aprili

mwezi wa nne katika mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mwezi wa Aprili ni mwezi wa nne katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na neno la Kilatini aperire, maana yake ni "kuchanua". Inafikiriwa kwamba linahusu majira ya kuchanua kwa maua.

Mac - Aprili - Mei
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Aprili ina siku 30, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Julai; na katika mwaka mrefu (wenye siku 366), siku yake ya kwanza pia ni sawa na mwezi wa Januari.

Ukweli wa haraka
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads