Metodi I wa Konstantinopoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Metodi I wa Konstantinopoli (Siracusa, leo nchini Italia, 788 hivi – Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 14 Juni 847) alikuwa mmonaki na mwandishi wa Kikristo wa Dola la Bizanti.

Alifungwa gerezani kwa sababu ya kutetea matumizi ya picha takatifu hata mbele ya Papa Paskali I huko Roma , lakini hatimaye akawa Patriarki wa Konstantinopoli tangu 4 Machi 843 hadi kifo chake akishuhudia ushindi wa imani sahihi[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads