Metodi I wa Konstantinopoli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Metodi I wa Konstantinopoli
Remove ads

Metodi I wa Konstantinopoli (Siracusa, leo nchini Italia, 788 hivi Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 14 Juni 847) alikuwa mmonaki na mwandishi wa Kikristo wa Dola la Bizanti.

Thumb
Picha takatifu ya ushindi wa imani sahihi. Metodi amechorwa upande wa juu kulia.

Alifungwa gerezani kwa sababu ya kutetea matumizi ya picha takatifu hata mbele ya Papa Paskali I huko Roma , lakini hatimaye akawa Patriarki wa Konstantinopoli tangu 4 Machi 843 hadi kifo chake akishuhudia ushindi wa imani sahihi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads