Metrofane wa Bizanti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Metrofane wa Bizanti (alifariki 326) alikuwa askofu wa Bizanti, baadaye Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, kuanzia mwaka 306 hadi 314 [1].

Ndiye aliyeweka wakfu kwa Bwana mji huo ulioitwa pia Roma Mpya.
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads