Mirokle

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mirokle
Remove ads

Mirokle (karne ya 3 - karne ya 4) alikuwa Askofu wa Milano, Italia Kaskazini wakati wa kaisari Konstantino Mkuu kutoa Hati ya Milano ili kuruhusu Ukristo katika Dola la Roma.

Thumb
Altare ya Mt. Mirokle ambayo chini yake panatunzwa masalia yake.

Ambrosi alimtaja kati ya watangulizi wake waaminifu [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads