Mkoa wa Masvingo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkoa wa Masvingo ni mkoa wa Zimbabwe upande wa kusini mashariki wa nchi.

Una eneo la kilometa mraba 56,566 na wakazi 1,639,000 (2022)[1].
Makao makuu yako Masvingo.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads