Mnandi

Familia ya ndege wa maji wanaozama From Wikipedia, the free encyclopedia

Mnandi
Remove ads
Remove ads

Wanandi ni ndege wa maji wa familia Phalacrocoracidae ambao wanafanana na vibisi lakini wana mkia mrefu zaidi na domo lao ana ncha kwa kulabu. Rangi yao kuu ni nyeusi. Wanandi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga matago yao kwa matawi na mimea ya maji juu ya miti au miamba. Jike huyataga mayai 3-4.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads