Modesti wa Karthago

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Modesti wa Karthago (alifariki 160) ni kati ya Wakristo wa mji huo wa Tunisia ya leo waliouawa kwa ajili ya imani yao.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Februari[1].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads