Mohamed Mwikongi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mohamed Said Mwikongi (amezaliwa 18 Aprili 1979) ni mwigizaji, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Tanzania.

Anafahamika zaidi kwa jina la "Frank" aliloigiza katika tamthilia ya Tufani na baadhi ya filamu alizocheza. Mwikongi amepata kuonekana katika filamu ya Behind the Scene, Dear Mama, Sikitiko Langu, Dangerous Desire, Branch of Love na Hostel.

Maisha ya sanaa

Anatoka katika kundi la sanaa la Kaole Sanaa Group.

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mohamed Mwikongi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads