Moma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Moma
Remove ads

Moma ni spishi za nyoka wenye sumu wa jenasi Bitis katika familia Viperidae. Spishi moja huitwa bafe pia na spishi nyingine wa familia Viperidae huitwa vipiri.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Spishi nyingi za moma, zile za Afrika ya Mashariki hasa, ni kubwa na nene kuliko vipiri wengine, lakini spishi kadhaa ni ndogo zaidi na moma mdogo wa Namakwa ni mdogo kabisa wa Viperidae wote duniani. Kinyume chake moma-misitu ni mkubwa kabisa.

Wakitishwa moma hutuna na kujipojaa wakifyonya kwa sauti kubwa. Inaonekana kama sio wepesi lakini wanaweza kupiga kwa kasi ya umeme.

Nyoka hawa ni wanene na wazito kwa kulinganisha na urefu wao. Wana kichwa kipana kwa umbo wa pembetatu na mkia mfupi. Magamba yao yana miinuko na yale ya pua yanaweza kuwa marefu na kufanana na pembe.

Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Marejeo

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Moma kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads