Monasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Monasi
Remove ads

Monasi (karne ya 3 - karne ya 4) alikuwa askofu wa 15 wa Milano, Italia Kaskazini [1].

Thumb
Masalia yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads