Mto Aba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Aba
Remove ads

Mto Aba ni mto uliopo ukanda wa kusini mwa Nigeria.

Thumb
Mto Aba.

Chanzo chake kipo upande wa kaskazini wa mji wa Aba, na ukipita katika mji unapokea uchafu mwingi, hasa kutokana na majitaka na damu ya machinjo ya Aba[1].

Mto huo unaishia kwenye mto Imo. Njia yake huwa na urefu wa km 50.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads